Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Msanii Steven Nyerere Afunguka Haya Mazito Kuhusu Kuigiza Sauti Ya Mbowe

Msanii na mchekeshaji mwenye vipaji vya kuigiza sauti mbalimbali za viongozi mbalimbali wa serikalini na watu mbalimbali Tanzania, akiongea na baadhi ya waandishi wa habari amesema kwamba hawezi kufanya ujinga huo wa kuigiza sauti za watu na kwamba Mh Freeman Mbowe ni kiongozi mkubwa sana na hawezi kufanya hivyo na kusisitiza kwamba wale wanaoelewa watakuwa wamesikia hiyo audio note na kujua kwamba sio mimi.

Asema nina mke na watoto leo hii nimtukane Mh Freeman mbowe mwenye wanachama zaidi ya Milioni 30 najitakia nini mimi (steven), siwezi kufanya hivyo

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017