Mwili wa mtu asiyejulikana umekutwa kwenye fukwe za Kawe ukiwa umefungwa kwenye kiroba asubuhi ya jana
Mashuhuda wanasema kuwa wavuvi wameusogeza ufukweni hapo, na kuucha, Jeshi la Polisi lilitaarifiwa na kuelekea sehemu ya tukio mwili ulipopatikana kwa uchunguzi zaidi...
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini