Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Kotei Awataja Wanaoivuruga Yanga



KIUNGO Mghana wa Simba, James Kotei ameeleza kuwa mafanikio ya timu yao kuongoza Ligi Kuu Bara mpaka sasa umechangiwa kwa kiasi kikubwa na ushapu nyota wao wawili, Emmanuel Okwi na Shiza Kichuya.
Okwi na Kichuya ndio mastaa wa Simba kwa msimu huu wakiwa wamefunga mabao 13 kwa pamoja, sawa na asilimia 61 ya mabao yote ya Simba kwa msimu huu.
Kotei ambaye mkataba wake na Simba unamalizika mwaka 2019, alisema kasi ya mabao ya nyota hao wawili imekuwa msingi mkubwa kwao kufanya vizuri kwani wamekua na mchango mkubwa katika kila mchezo wanaocheza.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017